Pia pamoja na kutoa elimu kwao kuhusu Asilimia 4 zinazotengwa kwa kila manispaa kwa wanawake ili wajue kuwa fedha hizi zinawahusu.
Lakini pia amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mkuu wa Wilaya ya Temeke kwa kukamilisha zoezi la ugawaji wa Vitambulisho kwa wafangabiashara wadogowadogo kwenye maeneo yao, lakini pia amewataka Wakuu wa wilaya wa Kigamboni, Kinondoni na Ubungo kuongeza kasi ya kukamilisha zoezi hilo.

No comments:
Post a Comment