A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, April 30, 2019

Rais Magufuli amtaka Waziri Mwakyembe kubeba aibu ya Serengeti Boys


Rais John Magufuli amesema huwa anajisikia vibaya na kuhuzunishwa na kushindwa kufanya vizuri kwa Timu ya Taifa ya Vijana Tanzania.

Katika ziara yake mkoani Mbeya ameeleza kutofurahishwa kwake na matokeo ya AFCON U17 ambapo Tanzania (Serengeti Boys) ilishindwa kufuzu michuano hiyo.

Amemtaka Waziri wa Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe kuibeba aibu hiyo na kumtaka alitafakari suala hilo.

"Lakini katika vitu vinavyoni 'bore' ni kufungwa huwa najisikia vibaya. Haiwezekani, uwanja wa kwako, nchi ina idadi ya watu milioni 55 tukiwa tunafungwa ni sisi wote tumefungwa, labda kufungwa nako ndiyo mchezo wenyewe," amesema.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages