A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, April 30, 2019

Rais Magufuli atofautiana na RC Mbeya kuhusu uwepo wa vyama vya upinzani


Rais John Magufuli amesema anatamani kuendelea kuwepo kwa vyama vingi vya upinzani ili kuongeza ushindani, huku CCM ikiendelee kupata ushindi

Kauli hiyo ya Rais Magufuli ilitofautiana na Mkuu wake wa Mbeya, Albert Chalamila aliyetaka kibaki chama kimoja tu.

"Tunaweza kuwa na ‘Magufuli Ruling Party’ na mambo yakaenda vizuri kabisa," alisema RC Chalamila.

Leo katika ziara yake mkoani Mbeya Rais Magufuli ataweka jiwe la Msingi la ujenzi wa nyumba za walimu, mabwenu na maabara katika Chuo cha Ualimu Mpuguso na kuzungumza na wananchi wa Tukuyu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages