A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, April 10, 2019

DON’T DRINK AND DRIVE’ CAMPAIGN BY SERENGETI BREWERIES REACHES OUT TO ARUSHA RESIDENTS, BODA BODA RIDERS SECURE ROAD SAFETY REFLECTORS

Mkurugenzi wa Mahusiano kwa umma wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) John Wanyancha akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Kampeni ya unywaji kiistarabu iliyozinduliwa jana Mkoani hapo ambapo madereva walipatiwa makoti ya usalama barabarani (Reflectors) kwaajili ya usalama wao.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha (RTO) Joseph Bukombe akimvisha kizibao cha kung'aa (Reflector) mmoja wa madereva bodaboda katika stendi kuu ya mabasi jijini Arusha wakati wa uzinduzi wa kampeni ya unywaji kiistarabu inayoratiiwa na Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) uliofanyika jana jijini humo.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha (RTO) Joseph Bukombe akizungumza na madereva bodaboda mkoani Arusha wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya unywaji kiistarabu inayoratibiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL).
Arusha, Friday, 5th April, 2019 -The Campaign dubbed ‘Don’t drink and Drive’ by Serengeti Breweries Ltd has today reached out to Arusha residents aiming at educating road users on responsible alcohol consumption, an initiative to support the government in curbing road accidents.

Launched at the Traffic Headquarters, the campaign was graced by Arusha Regional Traffic Police Officer (RTO), Josesph Bukombe and started with a forum to discuss responsible drinking among road users and other members of the society. Spearheaded by the regional traffic police division, the forum amassed various stakeholders in the transportation sector including Sumatra, drivers, motor cyclists (boda boda riders) and the general public.

Speaking during the event, SBL’s Director of Corporate Relations, John Wanyancha said that responsible drinking campaign aims at building awareness to the targeted cadre that an alcohol consumer need not to get addicted, noting that they can drink responsibly and get on with their pleasures without unprecedented incidences.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages