A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, March 1, 2019

Mrisho Mpoto amtolea maneno mazito Diamond 'Ruge amefariki njoo umzike'

Baada ya kuenea kwa taarifa za msiba wa Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji, Clouds Media, Msanii wa nyimbo za asili Mrisho Mpoto amemtaka Msanii wa Muziki ambaye tangu Mkurugenzi huyo afariki hajaposti chochote hivyo amemuomba msanii huyo kwenda kumzika.

Mrisho Mpoto  amemuomba msanii huyo aende akamzike Ruge, kama anamheshimu na kumsikiliza.

"Nasib Abdul nimekwita jina lako la kuzaliwa mimi kama kaka yako unaeniheshimu na kunisikiliza nakwambia. RUGE MUTAHABA AMEFARIKI nakuomba NJOO UMZIKE... Nimemaliza," ameandika Mrisho Mpoto kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Tangu kutokea kwa msiba huo hata Media yake ya Wasafi Tv hawajaandika chochote kuhusiana na msiba huo ila wasanii walio chini ya lebo yake ya WCB wamendika kuhusu msiba huo kupitia kurasa zao za Instagram.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages