KIKOSI cha Timu ya Yanga kufanya mabadiliko ya bechi la ufundi kwa baadhi ya makocha.
Ambapo Kocha msaidizi wa kikosi hicho Shadrack Nsajigwa pamoja na kocha
wa makipa Juma Pondamali ndio watakao ondolewa na kuongezwa wengine.
Huku wakibaki Mwinyi Zahera, Pamoja na Noeli Mwandila katika benchi hilo la ufundi.
Akiongezeka Kocha wa Kagera Sugar Meck Mexime huku nafasi ya Juma
Pondamali ikichukuliwa na Razack Siwa ambaye ni raia wa Nchini Kenya.
Baada ya Kikosi hicho kutokufanya vizuri katika msimu huu uliofikia Tamati jana Mei 28 Ligi kuu Vodacom Tanzania Bara.
Ambapo msimu huu umemlizika vibaya kwa upande wao kwa kushika nafasi ya
3 wakiwa na alama 52 Azam wakiwatangulia mbele kwa pointi 6 na kushika
nafasi ya Pili,Huku Mabingwa wapya wa ligi hiyo Simba Sc wakiwa mbele
kwa alama 69.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, May 29, 2018
Pondamali, Nsajigwa wabaki njia panda Yanga
Tags
MICHEZO#
Share This
About kilole mzee
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment