Askari wawili na raia watatu wameuawa kwa kupigwa risasi na mtu mmoja aliekuwa na silaha mjini Liege nchini Ubelgiji.
Mshambuliaji alikimbilia katika shule moja na kumteka mwanamke mmoja.
Polisi imefaulu kumdhibiti mtu huyo aliendesha shambulizi hilo. Polisi
wengine wawili wameripotiwa kujeruhiwa katika tukio hilo.
Taarifa nyingine inaarifu kuwa mtu huyo aliendesha shambulizi ameuawa na jeshi la Polisi.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, May 29, 2018
Askari Polisi wawili na raia watatu wauawa katika shambulizi
Tags
KIMATAIFA#
Share This
About kilole mzee
KIMATAIFA
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment