Simba na Yanga zinaweza kujikuta zinakutana mwaka huu kwa mara ya tatu
mfulilizo lakini safari hii ikiwa ni katika michuano ya SportPesa Super
Cup.
Michuano hiyo inafanyika jijini Nairobi, Kenya na itakutanisha timu nane kutoka Tanzania na nne za wenyeji Kenya.
Michuano ya SportPesa Super Cup inaanza Juni 3 hadi Juni 10 na Simba
wataanza Sharks ya Kenya wakati Yanga baadaye watakuwa uwanjani dhidi ya
Homeboyz.
Kama kila timu itashindana, uwezekano wa kukutana ni asilimia kubwa na kila mmoja atalazimija kujiweka vizuri mapema kabisa.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, May 29, 2018
Ratiba ya Super Cup hii hapa, Yanga na Simba kukutana mapema
Tags
MICHEZO#
Share This
About kilole mzee
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment