A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, May 10, 2018

Mr Sugu na Mwenzake waachiwa huru mapema leo


Msanii wa hip-hop  nchini Mr Sugu ambae alifungwa kwa miezi sita kwa kosa la kumtukana rais ameachiwa huru leo mapema asubui, sugu amabe alitakiwa kufumngwa kwa muda wa miezi sita, imekuwa kitu cha kushangaza yeye kuachiwa hutu leo huku bado kukiwa na maulizo mengi kuhusu kuachiwa kwake huru.

Habari zinazosambaa ni kwamba Mr sugu ameachiwa huru baada ya Mh.Raisi kutoa msamaha siku ya muungano tarehe 26/4 mwaka huu na kwamba hakuwahi kuto akutokana na taratibu ambazo alitakiwa kuzifuata kabla ya kutolewa gerezani humo.

Leo asubuhi wakati viongozi wake wa Chadema wakimsubiri Sugu kutoka gerezani, waliambiwa kuwa Sugu tayari ameshatoka gerezani na walipopiga simu nyumbani waliambiwa mtu huyo ameshafika nyumbani  muda mrefu.

Ukiachana na kazi ya usanii, Mr Sugu pia ni mwanasiasa  na mbunge wa Mbeya ambapo mambo ya siaa ndio yaliyomfanya kufungwa kutokana na kumkejeli Rais wa nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages