A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, May 24, 2018

January Makamba aandaa mjadala wa Kitaifa kuhusu nafasi ya Dini



Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano January Makamba ameandaa mjadala wa Kitaifa kuhusu nafasi ya Dini na uhifadhi wa mazingira utaohusisha Viongozi wa Dini, Wananchi na Viongozi wa Serikali.

“Itakuwa ni mjadala wa Kitaifa kuhusu nafasi ya Dini na uhifadhi wa mazingira, tumealika Maaskofu wa dini zote, Waislam pia, sisi tunaamini Watanzania wote tunamuamini Mungu ndo mana tumeona tuwatumie Viongozi wa dini kuelimisha” amesema January Makamba

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages