A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, May 14, 2018

Billnass apewa tuzo na chuo

 Staa wa muziki wa Bongo Fleva Billnass alikuwa ni miongoni mwa mastaa waliohudhuria msiba wa mwanafunzi wa chuo cha usafirishaji NIT Marehemu Akwilina Akwilin aliyefariki kwa kupigwa risasi February 16,2018

Billnass akiwa ndiye msanii pekee aliyehudhuria msiba wa Marehemu Akwilina katika ibada ya kuuaga mwili katika chuo cha NIT February 22,2018 amefanikiwa kukabidhiwa tuzo na uongozi wa chuo cha NIT Dar Es Salaam  kama shukrani zao kwakwe kwa kufanya hivyo.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Bill Nas ameandika >>>“Ahsanten Sana Wasomi na Uongozi Mzima Wa CHUO CHA (NIT) Dar es Salaam Campus Tuzo yenu imenifikia na nimeipokea kwa Moyo Mmoja na Heshima kama Mlivyoitoa kwa Heshima nasema Ahsanten Sana #amhumbled #Linthemaking#TAGIUBAVU”


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages