A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, March 9, 2018

Cheka Ulingoni Kesho Kuwani Mkanda Wa Kimataifa

Wapenzi na wadau wa mchezo wa masumbwi nchini hapo kesho wanatarajia kushuhudia mapambano matatu makubwa na yakihistoria yatakayofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam, bondia Watanzania Cosmas Cheka akiwania ubingwa wa International Champions,  dhidi ya Salimu Mtango uzito wa kilo 59.

Mapigano mengine ambayo yanajumuisha nchi tatu bondia kutoka Tanzania, Saleh Mtalekwa atapambana na mwanamasumbwi wa Uganda, Weiswe Juma kuwania ubingwa wa Afrika kilo 67 huku mwana dada Alima Vunjabei akipambana na Nicholine Achieng kutokea Kenya pigano la Mkanda.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages