Wapenzi na wadau wa mchezo wa masumbwi nchini hapo kesho wanatarajia
kushuhudia mapambano matatu makubwa na yakihistoria yatakayofanyika
katika uwanja wa ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam, bondia Watanzania
Cosmas Cheka akiwania ubingwa wa International Champions, dhidi ya
Salimu Mtango uzito wa kilo 59.
Mapigano mengine ambayo yanajumuisha nchi tatu bondia kutoka Tanzania,
Saleh Mtalekwa atapambana na mwanamasumbwi wa Uganda, Weiswe Juma
kuwania ubingwa wa Afrika kilo 67 huku mwana dada Alima Vunjabei
akipambana na Nicholine Achieng kutokea Kenya pigano la Mkanda.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, March 9, 2018
Cheka Ulingoni Kesho Kuwani Mkanda Wa Kimataifa
Tags
MICHEZO#
Share This
About kilole mzee
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment