A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, February 23, 2018

Shilole afunguka mumewe kuoa mke wa pili


Baaada ya Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainab Abdallah, kushangaza watu wengi kwa kutoa pongezi kwa Mume wake baada ya kuoa mke wa Pili, Sasa Mwanamuziki Shilole yeye amesema kwamba katu hawezi kukubali Mumewe Uchebe aoe mke wa Pili hata kama Dini yake inaruhusu.

….>>>“Mimi mume wangu hawezi kuowa mke wa pili, anaoa mke wa pili how..? hata kama dini inaruhusu, mimi nina mapungufu gani mpaka uoe mke wa pili na mimi sina mapungufu yeyote mpaka uoe mke wa pili na mume wangu kamwe hawezi kuoa mke wa pili na sito kubali hatujawai kuzungumza na uchebe hana plan hizo” – Shilole

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages