A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, February 4, 2018

Misri: Kaburi la miaka zaidi ya 4 400 lagunduliwa


Kaburi la miaka zaidi ya 4 400 limegunduliwa mjini Cairo , kaburi bila shaka liliandaliwa katika kipinidi cha  firauni,  cheo cha wafalme wa zamani wa Misri katika historia ya bara la Afrika.

Halid el-Anani , waziri  anaehusika na masuala ya kistoria nchini Misri alifahamisha katika mkutano ambao ulihudhuriwa  na mabalozi kutoka katika mataifa tofauti, alisema kuwa kaburi la miaka zaidi ya 4 400 limegunduliwa El-Cebane.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages