Msanii wa Bongo Fleva, Linah ameamua kuweka wazi kwa kutaja idadi ya wanaume ambao alishawahi kudate nao tangu awe maarufu huku akishindwa kukumbuka wanaume ambao alikuwa nao kipindi hicho kabla ya kupata jina.
Linah amesema tangu apate jina ametembea na wanaume watano tu mbali na mwanaume aliyezaa naye ambaye wananaishi pamoja kwa sasa.
“Kwa haraka haraka nishatoka kimapenzi na wanaume watano hivi toka hivi watu wamenifahamu kama Linah, sina idadi kubwa,“amesema Linah kwenye mahojiano yake na EATV kwenye kipindi cha Kikaangoni.
Hata hivyo, Linah amesema idadi hiyo ya wanaume ni baada ya kupata jina ila wale aliyowahi kutoka nao kimapenzi kipindi cha nyuma kabla ya umaarufu hawakumbuki ila ni kati ya 10 au 15.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, February 28, 2018
ii ndio idadi ya wanaume waliyowahi ku-date na Linah
Tags
BURUDANI#
Share This
About kilole mzee
BURUDANI
Labels:
BURUDANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment