A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, February 3, 2018

Batshuayi aanza kwa mbwembwe Dortmund

Batshuayi aanza kwa mbwembwe  DortmundMshambuliaji wa Chelsea aliyeelekea katika klabu ya Borussia Dortmund kwa mkopo Michy Batshuayi alifunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza na klabu yake mpya dhidi ya Cologne.
Batshuayi, ambaye alielekea Dortmund hadi mwisho wa msimu huu alifunga bao lake la kwanza katika kipindi cha kwanza kabla ya kuongeza bao la pili baada ya saa moja .
Mabao hayo mawili yalijiri baada ya bao la Simon Ziller kabla ya Jorge Mere kuwasawazishia wenyeji.
Michy Batshuayi aifungia Dortmund mabao mawili katika mechi yake ya kwanzaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMichy Batshuayi aifungia Dortmund mabao mawili katika mechi yake ya kwanza
Lakini baadaye Batshuayi alimpigia pasi nzuri Andre Schurrle aliyefunga bao la tatu na kuipatia ushindi Dortmund.
Ushindi huo unaipeleka Dortmund hadi nafasi ya pili katika ligi ya Bundesliga

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages