A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, February 17, 2018

Aslay kuzunguka barani Ulaya


Msanii wa muziki Bongo, Aslay anatarajia kufanya riara ya kimuziki barani Ulaya.

Muimbaji huyo atatumia kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kukamilisha ziara hiyo inayotarajiwa kuanza March 2 hadi April 7 mwaka huu.

Kwa kipindi hicho atafanya show nane katika nchi mbali mbali zikiwemo Norway, Sweden, Finland, Swiss, Germany, Denmark na Holand.

Fri 2.3 Stockholm – Sweden
Sat 3.3  Tampere-Finland
Sat 17.3 Berlin-Germany
Sat 24.3 Munich -Swizz

Fri 30.3  Copenhagen- Denmark
Sat 31.3 Köln-Germany
Fri 6.4  Holland
Sat 7.4  Helsinki-Finland

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages