A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, February 17, 2018

Kifo cha Mwanafunzi aliyepigwa risasi chawagusa watu maarufu


Taarifa za kifo cha mwanafunzi Aquillina Akwilini aliyepigwa risasi kifuani na Polisi na kupoteza maisha jana February 16, 2018 akiwa kwenye daladala zinaendelea kuenea kwenye mitandao ya kijamii.

Inaelezwa kuwa tukio hilo lilitokea wakati Askari Polisi wakiwatawanya wafuasi wa upinzani waliokuwa wakifanya maandamano katika eneo la Mkwajuni jijini Dar es Salaam.

Watu maarufu mbalimbali wameandika kwenye mitandao yao ya kijamii na kuonesha kuguswa na tukio hilo la kuuawa kwa Binti huyo, ikiwa ni pamoja na Mwanamuziki Shilole, Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe na Mwandishi wa Habari za Michezo Edo Kumwembe.



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages