Mkutano
wa
33 Jumuiya ya Serikali za mitaa Tanzania ( ALAT) leo umeanza rasmi
jijini Dar es salaam , ambapo Meya wa jiji la Dar es salaam isaya
Mwita amewapokea wajumbe wa mkutano huo kutoka sehem mbalimbali za
mikoa ya Tanzania.
Akizungumza
katika ukaribisho huo Meya Isaya amesema mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa rasmi kesho na rais wa jamhuri ya
muungano wa Tanzania mhe. Dr John Pombe Magufuli ambapo wajumbe hao wataendelea
vikao hadi tarehe 6 octoba kujandili
mambo mbali mbali yanayo zikabili serikali za mitaa.
Aidha
amesema jumuia hiyoinatarajiwa kuwasilisha maombi rasmi kwa Rais Magufuli ili
vyanzo vya mapato vilivyo chukuliwa na serikali kuu viweze kurudishwa
katika Halmashauri iliziweze kuongeza
uwezo wa kujiendesha .
No comments:
Post a Comment