Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania Absalom Kibanda amesema kuwa
upatikanaji wa taarifa
unabanwa na sheria nyingi hapa nchini ambazo
zinanyima uhuru wa kupata taarifa.
Amesama hayo leo katika kongamano liliofanyika jijini Dar es salaam la
kujadili siku ya upatinaji wa taarifa na kusema kuwa Tanzania kuna
sheria nyingi ambazo zinatungwa kwa lengo la kuminya upatikaniwa taarifa
ikiwemo sheria ya mtandao, sheria usalama wa taifa, sheria hudama za
habari, na sheria za takwimu hivyo sheria hizi zimetungwa mahususi kwa
lengo la kuminya wanahari na vyombo vya habari.
Aidha kutokana na sheria hizi huwa zinakuja na kauli za vitisho ambazo zinatumiwa na wasimamizi vibaya huku wamiliki wa vyombo vya habari wakitishwa kwa kaulili mbalimba na kupelekea kupoteza lengo la upatikanaji wa habari.
Waandishi wanakuwa na wakati mgumu wa uwasilishaji wa taarifa kwani wanatoa ama kuandika taarifa kwa uwoga kutokana na vitisho hivyo kupelekea taarifa kuwa finyu, kutokana na kuogopa kauli za vitisho kutoka kwa wasimamizi wa sheria hizo.
Aidha kutokana na sheria hizi huwa zinakuja na kauli za vitisho ambazo zinatumiwa na wasimamizi vibaya huku wamiliki wa vyombo vya habari wakitishwa kwa kaulili mbalimba na kupelekea kupoteza lengo la upatikanaji wa habari.
Waandishi wanakuwa na wakati mgumu wa uwasilishaji wa taarifa kwani wanatoa ama kuandika taarifa kwa uwoga kutokana na vitisho hivyo kupelekea taarifa kuwa finyu, kutokana na kuogopa kauli za vitisho kutoka kwa wasimamizi wa sheria hizo.
No comments:
Post a Comment