Beki wa timu ya soka ya Benki y NMB Hezbon Mpate (kushoto),
akiwnia mpira na mshambuliaji wa
timu ya Benki ya DTB Martin Komba wakati wa
mchezo wa uzinduzi wa mashindano ya ligi
ya mabenki iiyopewa jina la Brazuka kibenki itakayo shirikisha timu15 kutoka Benki
mbalimbali. mchezo huo wa uzinduzi ulifanyika katika viwanja vya Gymkhana Dar
es Salaam mwishoni mwa wiki. DTB iliibamiza timu ya NMB kwa mabao 4-0
Mshambuliaji wa timu ya Benki ya DTB
Martin Komba (kulia), akiwatoka ma beki
wa timu ya NMB wakati wa mchezo wa uzinduzi wa mashindano ya ligi ya mabenki iyopewa jina la Brazuka kibenki
itakayo shirikisha timu15 kutoka Benki
mbalimbali. mchezo huo wa uzinduzi ulifanyika katika viwanja vya Gymkhana, Dar
es Salaam mwishoni mwa wiki. DTB iliibamiza timu ya NMB kwa mabao 4-0
No comments:
Post a Comment