A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, May 19, 2017

UNTOLD STORI YAWA GUMZO MAKUMBUSHO YA TAIFA DAR ES SALAAM


Mhusika mkuu katika Mchezo wa Jukwaani wa 'UNTOLD SORY ' Amani Kipimo akiwa jukwaani katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini dar es Salaam.


Sehemu ya Waigizaji wa mchezo wa kuigiza wa Untoldy Story wakiwa jukwaani  wakati wa utambulishwaji wa mchezo huo


Msanii mkongwe wa Luninga na Jukwaani Susan Lewis ‘Natasha’ akiwa na Mhusika mkuu wa mchezo wa Untold Story Amani Kipimo 'Ngasu'


Sehemu ya watu waliofika kushuhudia mchezo huo wa Untold Story ambao ulibua hisia na kuwa gumzo kwa watu wengi sana


Baadhi ya waigizaji wa mchezo huo wa jukwaani wakionyesha uwezo wao wa kucheza na jukwaa


Rais wa Shirikisho la Filamu nchini Simon Mwakifamba akisiamama kwa heshima mara baada ya kuona mchezo huo ambao ulivuta hisa za wengi


Moja ya sehemu za mchezo huo wa kuigiza ukiwa jukwaani


Mwanamuziki wa maharufu wa Injili Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki David Robert aliyevaa T Shirt Nyekundu akishuhudia igizo hilo la UntoldStory



Sehemu ya waigizaji wa igizo hilo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages