Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo Mei 2, 2017 akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa kwa ziara
ya kikazi ya siku tatu.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda baada ya
kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo Mei 2, 2017 ,akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa kwa ziara
ya kikazi ya siku tatu.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda baada ya
kuwasili Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam leo Mei 2, 2017 ,akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa kwa ziara
ya kikazi ya siku tatu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa na wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Dar es salaam baada ya kuwasili
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Mei 2, 2017 ,akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa kwa ziara ya kikazi
ya siku tatu.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa na wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Dar es salaam na kamanda wa
Polisi Kanda Maalumu ya mkoa huo Kamishna Simon Sirro baada ya kuwasili
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Aprili 2, 2017 akitokea mkoani Kilimanjaro alikokuwa kwa ziara ya kikazi
ya siku tatu.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, May 2, 2017
Home
KITAIFA
RAIS DKT MAGUFULI AREJEA DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU MKOANI KILIMANJARO
RAIS DKT MAGUFULI AREJEA DAR ES SALAAM LEO BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU MKOANI KILIMANJARO
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment