A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, May 29, 2017

NHIF YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA KWA KUTOA ELIMU NA KUPIMA AFYA


Msimamizi wa Ofisi ya Mfuko wa Bima ya Taifa Mkoani Tanga (NHIF) Dinna Mlwilo kushoto akitoa elimu ya umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili kuweza kunufaika na huduma zinazo tolewa nao kwa wananchi walilitembelea banda lao  wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya kimataifa ya tano yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwahako Jijini Tanga.

Wananchi wakipima presha kwenye banda hilo wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo

Wananchi wakipima presha kwenye banda hilo wakati wa ufunguzi wa maonyesho hayo.

Afisa kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Sophia kushoto akisubiri kujeza fomu za wananchi ambao wanakwenda kupima uzito na afya kwenye Banda lao ambapo wanatoa elimu namna ya kujiunga na mfuko huo,kupima afya.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages