Mandhari ya Bandari ya Tanga eneo la kuegesha meli kupakua na kupakia kama inavyoonekana.
Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) iko katika mchakato wa kujenga bandari mpya ya Mwambani ambayo itapunguza msongomano wa shehena ya makontena katika bandari ya zamani iliyopo pichani.
Bandari hii imekuwa na msongomano mkubwa wa meli na majahazi ambayo hushusha na kupakiza mizigo, hivyo Mamlaka kuadhimia kujenga bandari ya Mwambani
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, May 28, 2017
HALI ILIVYO BANDARI YA TANGA
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment