Naibu Katibu Mkuu,Dkt.Hashil Abdallah kizungumza alipokuwa akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao kazi cha siku mbili kati ya wahariri wa vyombo vya habari na BRELA kinahofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Nashera Mkoani Morogoro.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Brela Godfrey Nyaisa akizungumza alipokuwa akitoa salamu za utangulizi katika kikao kazi hicho cha siku mbili kinachoendelea Mkoani Morogoro.
Afisa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Sikujua Mfaume akizungumza katika kikao kazi hicho akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa huo Martin Shigela.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus balile akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wahariri wa vyombo vya habari katika kikao hicho.
Mkuu wa Kitengo cha habari na Elimu kwa Umma (BRELA) Rhoida Andusamile akizungumza alipokuwa akiongoza ratiba ya kikaokazi hicho cha siku mbili kinachofanyika Mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Maduhu Isaac Kazi kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Immaculata Peter Ngwalle kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Khadija Ali Mohamed Mbarak kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Susan Paul Mlawi kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.

Viongozi mbalimbali walioapishwa Wakila Kiapo cha Maadili kwa Viongozi wa Umma katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala Bora) Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Innocent Bashungwa, Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Hamadi Masauni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Katanga wakiwa katika hafla fupi ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali tarehe 21 Mei 2022 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya tukio la Uapisho lililofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei, 2022.

No comments:
Post a Comment