Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Marium Mwinyi (katikati) wakiwapungia mikono WANANCHI leo walipojumuika na Viongozi na Wanamichezo wa Vikundi mbali mbali Bara na Zanzibar katika maadhimisho ya bonanza la Mazoezi ya Viungo Kitaifa kwa matembezi yaliyoanzia Michenzani hadi Uwanja wa Amaan Studim.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Marium Mwinyi (katikati) walipojumuika na Viongozi na Wanamichezo wa Vikundi mbali mbali Bara na Zanzibar katika maadhimisho ya bonanza la Mazoezi ya Viungo Kitaifa kwa matembezi yaliyoanzia Michenzani hadi Uwanja wa Amaan Studim.
Wanamichezo wakishiriki Bonanza la Mazoezi ya Viungo leo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Marium Mwinyi
Vikundi mbali mbali wa mazoezi kutoka Bara na Visiwani vilivyoshiriki Bonanza la Mazoezi ya Viungo wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Uwanja wa Amani Studium yaliyofanyika leo.
Vikundi mbali mbali wa mazoezi kutoka Bara na Visiwani vilivyoshiriki Bonanza la Mazoezi ya Viungo wakipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Uwanja wa Amani Studium yaliyofanyika leo.
Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment