A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, November 24, 2021

SIMBA YAANZA KUIWINDA RED ARROWS

 

Na: mwandishi wetu

KIKOSI cha simba leo kimeingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya Kombe la  shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows Kutoka Zambia.

Katika mchezo wa kwanza dhidi ya Arrow utachezwa Novemba 28 katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam majira ya saa 10 jioni.

Hata hivyo kikosi kicho kinaingia uwanjani kikiwa na morali  baada ya kuwa ba kocha mpya ambaye ameiwezesha simba kupata ushindi dhidi ya Ruvu shooting katika ligi ya NBC.

Kikosi hicho kimerejea katika uwanja wao wa Bunju baadabya kufanyiwa matengenezo katika eneo la kuchezea(pitch).

Tangu kuanza kwa msimu huu tinu imekuwa inafanya mazoezi katika uwanja wa Boko Veteran kwa ajili ya kupisha matengenezo hayo ambayo tayari yamekamilika na kikosi kimerejea rasmi Nyumbani.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages