A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, July 3, 2020

MWENYEKITI WA SERIKALI YA MTAA BONYOKWA MALIYATABU AIPIGA JEKI SEKTA YA ELIMU ATOA MSAADA WA VITABU 100 SHULE YA MSINGI PAMOJA


Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Bonyokwa  Maliyatabu, akikabidhi msaada wa vitabu mia moja vyenye dhamani ya shilingi laki tano katika shule ya msingi pamoja ilioko kwnye kata hiyo ikiwa ni juhudi za Mwenyekiti huyo kuunga mkono Serikali kwenye sekta ya elimu. Hafla yakukabidhi ya msaada huo imefanyika hivi karibuni Dar es Salaam.


Mwenyekiti Maliyatabu akikabidhi moja ya kitabu kati ya vitabu mia moja kwa Mmoja ya mwanafunzi wa shule hiyo

Mwenyekiti Maliyatabu akikabidhi vitabu kwa mwalimu wa shule hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages