A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, April 16, 2020

Corona: Wagonjwa 9 wapya wathibitishwa Kenya Jumla 234

Idadi ya waliombukizwa kenya na virisi vya corona imefikia 234 baada ya wagonjwa wengine tisa kutangazwa Alhamisi.

Akihutubia taifa rais Uhuru Kenyatta amesema kwamba watu 704 walipimwa katika kipindi cha saa

Aidha kiongozi huyo wa taifa alisema kwamba watu 53 wamepona huku idadi jumla ya walioambukizwa ikifikia 234.

Rais Kenyatta amethibitisha kwamba uwezo wa kupima virusi hivyo unaendelea kuimarika na kwamba upimaji wa watu wengi kwa wakati mmoja utaanza katika maeneo yaliyolengwa kwanza kabla ya kupelekwa hadi maeneo mengine.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages