A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, April 16, 2020

Breaking: Wagonjwa wengine sita wa corona watangazwa Zanzibar

Wagonjwa wengine sita wa virusi vya corona wamethibitishwa kuwa na virusi hivyo kisiwani Zanzibar. Hatua hiyo inafanya idadi ya wagonjwa wa virusi hivyo kupanda kutoka watu 18 hadi 24.

Waziri wa Afya kisiwani humo Hamad Rashid Mohamed amesema kwamba wagonjwa wote ni raia wa Tanzania na hawana historia ya kusafiri .

Waziri huyo ameongezea kwamba tayari wagonjwa wote wamelazwa katika vituo maalum kwa lengo la kuendelea kupata matibabu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages