A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, June 10, 2019

SUGUYE CUP YAZIDI KUPAMBA MOTO YAFIKIA HATUA YA MAKUNDI

Mlinda mlango  wa Kitunda FC Shabani Gasa, akijaribu kuokoa shambulizi dhidi ya mchezo wao na Fair Play FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu  ya Fair Play iliikuba kidedea kwa kuichabanga Kitunda mabao 2-1.Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Beki wa Kitund FC Odhiambo Bernard, (mwenyejezi nyekundu) akimkabili Mshambuliaji machachali wa Fair Play, Saidi Issa, katika  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanjabvya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu ya Fair Play iliikuba kidedea kwa kuichabanga Kitunda mabao 2-1.Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu  ya Miyosha iliibuka na ushindi wa 2-1.  Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji  wa Fair Play, Paschal Anthony, akijaribu kutaka kufunga kwa tiktaka wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Fair Play iliikuka kidedea kwa kuichabanga Kitunda mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages