Mbunge wa Mbeya, Joseph Mbilinyi amemweleza Rais Magufuli kuwepo kwa mgawanyiko kati ya wananchi wa Mbeya na kumhakikishia Rais kuwa hakuna kundi linalomtukana Rais wala waliopanga kumfanyia vurugu.
Akizungumza mbele ya Rais Magufuli katika ziara yake mkoani, SUgu amesema hataruhusu hilo litokee kwani Rais Magufuli ni rafiki yake.
Aidha amemuomba Rais Magufuli ikimpendeza angependa kuwa Mwenyekiti wa Usuluhishi na upatanishi kati ya wanachama wa CCM na CHADEMA ili kumaliza mgawanyiko na kuunga mkono kauli ya Rais ya kuwa Maendeleo hayana chama.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, April 26, 2019
Ombi la Sugu kwa Rais Magufuli kuhusu CCM na CHADEMA
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment