Hiki ni kipigo cha sita kwa Manchester United katika michezo yao nane ya hivi karibuni.
Richarlison alianza kufungua ukurasa wa mabao dakika ya 12, Gylfi Sigurdsson dakika ya 28, Lucas Digne dakika ya 56 na la mwisho limefungwa na Theo Walcott dakika ya 64.




No comments:
Post a Comment