Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai leo Agosti 18 amemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Khamis Kigwangalla katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam alikolazwa kwa lengo la kumjulia hali.
Waziri kigwangala amelazwa hospitalini kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari ambapo mtu mmoja alipoteza maisha katika ajali hiyo
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, August 18, 2018
Spika Ngugai afika Muhimbili alikolazwa Kigwangala kumjulia hali
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment