A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, June 1, 2018

Jacqueline Wolper afungukia ishu ya Harmonize kutaja majina ya Wanaume aliowahi kuwa nao


Msanii wa filamu, Bongo Jacqueline Wolper ametaja sababu zilizopelekea ex-boyfriend wake, Harmozie kutaja orodha wa wanaume 11 ambao alidai waliwahi kutoka kimapenzi na mrembo huyo.

Muigizaji huyo akizungumza akiwa nchini Kenya na Kiss FM amesema kuwa kilichopelekea Harmonize kufanya hivyo ni maumivu ya mapenzi.

“Binafsi sikuchukia wala sikukasirika kwa sababu niliona amepaniki, you know a guy love me a lot, kwa hiyo niliona amepaniki tu na ni maumivu ya mapenzi na sikumshangaa,” amesema Wolper.

Utakumbuka usiku wa kuamkia May 8, 2018 ndipo Harmonize alitoa orodha hiyo, ni baada ya Wolper kwenye moja ya interview kudai kuwa mpenzi wa Harmonize wa sasa, Sarah ni mlezi wa wana.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages