A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, May 24, 2018

Mkulima amvalisha Ng’ombe wake sidiria kuepuka Magonjwa


Dunia haishiwi vituko na leo May 23, 2018 nakusogezea stori kumhusu Mkulima anayejulikana kwa jina la Graham Burnet kutoka nchini Scotland amewashangaza wengi baada ya kuwa mbunifu kwa kumvalisha ng’ombe wake sidiria.

Aidha imeelezwa kuwa mkulima huyo anafanya hivyo kwa minajili ya kumkinga ng’ombe wake huyo asipate maambukizi kwenye chuchu zake.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages