Marekani imesema itaisaidia Korea Kaskazini kiuchumi endapo Pyongyang itaachana na mabomu ya nyuklia.
Hayo yamezungumzwa baada ya Mike Pompeo kufanya ziara nchini Korea Kaskazini.
Kwa mujibu wa habari,waziri huyo amefanya mazungumzo ya kina na Kim Jong Un kuhusu uamuzi wa Marekani endapo nchi hiyo itaachana na makombora ya nyuklia.
Hapo awali rais Trump alitangaza rasmi kuwa mkutano baina yake na Kim unatarajia kufanyika 12 Juni Singapore.
Marekani imeahidi kufanya ushirikiano na Korea Kaskazini an Kusini endapo mkutano kati ya Kim na Trump utazaa matunda.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, May 12, 2018
Korea Kaskazini kusaidiwa kiuchumi na Marekani
Tags
KIMATAIFA#
Share This
About kilole mzee
KIMATAIFA
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment