A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, April 5, 2018

Ndege ya kivita ya jeshi la Marekani aina ya F-16 yaanguka Nevada


Ndege ya kivita ya jeshi la Marekani aina ya F-16 naanguka Nevada

Ndege ya kivita ya jeshi la Marekani  aina ya F-16 yaanguka Nevada bila ya kutolewa taarifa zaida kuhusu tukio hilo ambalo limefahamishwa kuwa ni ajali ya kwaida.

Kitengo cha anga cha Nellis  kimesema kuwa ajali hiyo imetokea majşra ya  ushubuhi. Hakuna taarifa iliotolewa kuhusu hatma ya rubani wa ndege hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages