A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, April 5, 2018

Kiongozi wa upinzani nchini Sierra leone Julius maada bio aibuka mshindi katika uchaguzi mkuu


Julius Maada Bio aligombia kiti cha urais katika uchaguzi mkuu nchini Siera Leone kwa tikiti ya upinzani.

Watu takribani milioin 3 waliiandikisha kupiga kuri   ya kumachagua rais mpya wa nchi hiyo  Machi 31 ambapo matokeo yake yametangazwa.

Tume iliosimamia uchaguzi NEC  chini ya uongozi wa Mohammes Nfah Alie Conteh imetangaza kuwa Julius Maada Bio ndio mshindi katika uchaguzi huo kwa kupata asilimia 51,8 ya kura.

Julius Maada amaemshinda mgombea mwenza  Samura Kamara ambae alikuwa  waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Sierra Leone ambae amepata asimilia 48,1 ya kura.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages