A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, March 10, 2018

Dogo Janja akoshwa na mwanamke huyu


KATIKA kuisindikiza Siku ya Wanawake Duniani, iliyofanyika juzi (Alhamisi), mkali wa michano Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’, amefunguka kwamba, kwa upande wake mwanamke ambaye amemkosha kwa mwaka huu ni mjasiriamali, Carol Ndosi.

Akipiga stori na Mikito Nusu Nusu, Dogo Janja alisema, Carol amemvutia kutokana na namna anavyojituma hata kuiingizia serikali pato la taifa.

“Carol kiukweli ‘ananiinsipaya’ sana. Ni mwanamke shujaa kwangu kwa mwaka huu. Tazama matamasha yake aliyokuwa anaandaa kama vile la Nyama Choma Festival. Unaona kabisa ni mbunifu na kupitia matamasha hayo ameweza kuliingizia taifa pato kubwa!” Alimaliza Dogo Janja


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages