A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, February 26, 2018

Bocco kuukosa mchezo wa Leo dhidi ya Mbao FC


Mshambuliaji wa klabu ya Simba, John Bocco, ataukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara Jumatatu ya leo, wakati timu yake itakapokutana na Mbao FC ya jijini Mwanza.

Bocco ataikosa mechi ya leo kutokana na majeraha ya mguu wake, aliyoyapata katika mchezo wa Ligi Kuu uliopita, February 25 2018, dhidi ya Mwadui FC kwenye Uwanja wa CCM Kambarage, Shinyanga.

Mbali na kuukosa mchezo huu, Bocco pia hakuwepo katika kikosi cha Simba kilichocheza mechi ya Kombe la Shirikisho Africa dhidi ya Gendarmarie Nationale FC ya Djibout ambao Simba walishinda bao 1-0.

Hii itakuwa mechi ya pili sasa Bocco anakosekana dimbani baada ya Gendarmarie, na leo dhidi ya Mbao FC.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages