A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, January 25, 2018

DC MJEMA AWAKUMBUSHA WAZAZI UMUHIMU WA KUWATUNZA WATOTO WA KIUME

 Mkuu wa Wilaya Ilala,Sophia Mjema akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Muhimbili wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Tumkumbuke Mtoto wa kiume, inayoendeshwa na Tasisi ya Dahuu Foundation  inayotoa elimu ya kuwakinga watoto wa kiume wasikumbwe na majanga mbalimbali.
  Mkuu wa Wilaya Ilala,Sophia Mjema, akicheza na wanafunzi wa  Kiume wa shule ya msingi Muhimbili wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Tumkumbuke Mtoto wa kiume inayoendeshwa na Tasisi ya Dahuu Foundation
 Wanafunzi wa Shule ya Msingi Muhimbili wakiwa katika Maandamano yenye mabango ambao walipita mbele ya mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema Kuonesha hisia zao.
 Mkurugenzi wa Dahuu Foundation, Husna Abdul akizungumza kabla ya kumkaribisha mkuu wa Wilaya kufanya uzinduzi wa kampeni ya Tumkumbuke Mtoto wa kiume inayoendeshwa na Tasisi ya Dahuu Foundation
 Mwanasheria na Mwanaharakati wa haki za Watoto Gebra Kambole akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Tumkumbuke Mtoto wa kiume inayoendeshwa na Tasisi ya Dahuu Foundation
 Mtangazaji wa kipindi cha Leo tena Gear Habibu akizungumza na Wanafunzi wa shule ya msingi Muhimbili umuhimu wa kuwatunza watoto wa kiume.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema Akiwaaga wanafunzi hao 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages