Katibu
wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia ambaye ni
Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mzee
Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala wakipunga mkono kwa wageni
waalikwa wakati wa hafla yao ya kutimiza Miaka 71 ya ndoa iliyofanyika
katika hoteli ya Srena Jijini Dar es Salaam na kuhudhuliwa na watu
maharufu na Viongozi wa kitaifa
Naibu
Waziri wa Afya nyumba na Maendeleo ya makazi Angelina Mabula akimuweka
Sawa mama yake wakati wa hafla ya kutimiza miaka 71 ya ndo yao mara
baada ya vita kuu ya pili ya Dunia
Waziri
wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Lukuvi akiwa na Mkewe
wakitoa pongezi kwa Mzee Sylvester Lubala mara baad ya kutimiza miaka 71
ya ndoa
Katibu wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia
ambaye ni Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mzee Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala wakiw akatika
picha ya pamoja na watoto wao 18 wakati wa hafla ya miaka 71 ya ndoa
Katibu wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia
ambaye ni Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mzee Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala akiwa katika
picha ya pamoja ya Mawaziri waliofika katika hafla yake ya miaka 71 ya
ndoa
Katibu wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia
ambaye ni Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mzee Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala akiwa katika
picha ya pamoja na baadhi ya wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania
Katibu wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia
ambaye ni Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mzee Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala akigonga glass na
wazee wenzie wa Tanzania Region wakati wa hafla ya kutimiza miaka 71 ya
ndoa
Katibu wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia
ambaye ni Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mzee Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala wakijianda akula
keki ya miaka 71 ya ndoa katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam
Katibu wa Chama cha Mashujaa wliopigana Vita kuu ya pili ya Dunia
ambaye ni Baba Mzazi wa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mzee Sylvester Lubala na Mkewe Cecilia Lubala akiwa katika
pichaya pamoja ya Wajukuu na Vitukuu waliohudhulia hafla ya miaka 71 ya
ndoa yake
Mkurugenzi
wa Dira Televisheni na Msama Promoton, Alex Msama akihojiwa na moja wa
Watangazaji wa kipindi cha Chereko kinachorushwa na TBC
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Angelina Mabula akiwa na Wadogo zake wakati wa hfla ya kutimiza miaka 71 ya ndoa ya Baba yake
Mkurugenzi wa Dira Televisheni na Msama Promoton, Alex Msama akiteta jambo na Mzee Gachuma wa Mwanza wakati wa hafla hiyo
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni , Ally Api akigonga glasi na Mzee Sylvester
Lubala na Mkewe Cecilia Lubala wakati wa hafla ya kutimiza miaka 71 ya
ndoa yao
No comments:
Post a Comment