A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, August 14, 2017

WANAFUNZI WANAOKWENDA KUSOMA VYUO VYA NJE WANATAKIWA LAZIMA WAWE NA VIBALI VYA TCU

Mkuruegenzi  Mtendaji wa Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel akizungumza  na Wanafunzi  wanaokwenda kusoma vyuo vikuu vya  nje ya nchi  wakiwa na  wazazi wakipata taarifa juu taarifa mbalimbali kabla ya safari ya kwenda katika vyuo katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Zamani wa Elimu, Mbunge wa Bagamoyo, Mhandisi Dk. Shukuru Kawambwa akizungumza na wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu vya nje katika Mkutano ulioandaliwa na Global Education Link (GEL) 
 Afisa wa Habari Mwandamizi wa Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU),Edward Mkaku akizungumza juu ya Global inavyofanya  kazi kwa ukaribu  na TCU kwa wanafuzi wanaokwenda  kuwa  taarifa za  tuume hiyo.
 Mwanasaikolojia ,Chris Mauki akizungumza juu ya masuala ya Saikolojia katika kuwajenga wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu vya nje ya nchi.
 Baadhi ya wazazi wakichangia maada zinazohusiana na wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu vya Nje ya Nchi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages