Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda akizungumza katika hafla ya kumtambua Kamanda mpya wa Kanda Maalumu ya Dar es salaam SACP_ Lazaro Mambosasa Katika Mazungumzo hayo wamejadili hali ya Usalama na namna ya kuendeleza yale ambayo yaliachwa na IGP Simon Sirro wakati akiwa Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, August 30, 2017
KAMANDA WA KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM LAZARO MAMBOSASA AJITAMBULISHA KWA RC MAKONDA
Tags
KITAIFA#
Share This
About kilole mzee
KITAIFA
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment