Mkuu wa Mkoa wa Dar es Samaam Paul Makonda, akiongea
na waandishi wa habari kwenye
viwanja vya ofisini kwake jijini Dar es Samaam leo. katika hafla ya kupokea
msaada wa Vitanda 150 na magodoro 150 pamoja na mashuka vya wagonjwa vyenye dhamani ya milioni 300, kutoka Kampuni ya Mafuta Camel Oil kushotoni Meneja Biashara wa Camel Oil,
Suleiman Amour.
Meneja
Biashara wa Camel Oil, Suleiman Amour, akiongea na waandishi wa habari kwenye viwanja vya ofisini ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Samaam Paul Makonda leo. katika
hafla ya kukabidhi msaada wa Vitanda 150 na magodoro pamoja na mashuka.
No comments:
Post a Comment