A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, August 21, 2017

ALIYEJIFANYA DAKTARI AMANA HOSPITALI ATIWA MBARONI


Mtu mmoja aliyejifanya Daktari katika Hospitali ya Amana Ilala,Jijini Dar-Es-Salaam ashikiliwa na uongozi wa Hospitali hiyo baada ya kukutwa akitoa huduma kwa wagonjwa waliofika kwa matibabu hospitalini hapo kinyume na taratibu

Pia imeelezwa yakuwa alikuwa akifanya utapeli kwa watu tofauti mbalimbali yakuwa atawatafutia ajira huku akitambua kufanya hivyo ni makosa kwa sheria za nchi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages