A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, February 10, 2022

MAENDELEO BANK YAWAPIGA JEKI WAMACHINGA MKOA WA DSM.


Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Biashara wa Maendeleo Benki Emmanuel Mwaya (kushoto), akizungumza na wanahabri wakati wa hafla yakukabidhi Kompyuta mpakato (Laptop) kwa chama cha Kariakoo Wamachinga Association (KAWASO) ambapo waliingia mkataba kwaajili ya kutoa mikopo kwa wafanya biashara wadogo waliopo mitaa maalum ya kariakoo yaliyotengwa.

Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Biashara wa Maendeleo Benki Emmanuel Mwaya (kushoto), akikabidhi moja ya Kompyuta mpakato tatu zilizotolewa na Maendeleo Bank  kwa Mwenyekiti wa Chama cha Kariakoo Wamachinga Association Namoto Yusuph kwaajili ya kuwezesha zoezi la Usajili na Urasimishwaji wa machinga wote wa jiji la Dae es Salaam kwaajili ya kutambulika pia kupata mikopo yenye masharti nafuu kutoka Maendeleo bankMkuu wa Kitengo cha Idara ya Biashara wa Maendeleo Benki Emmanuel Mwaya (kushoto), pamoka na Mwenyekiti wa Kariakoo Wamachinga Association Namoto Yusuph wakitia saini mikataba yamakubalino kwaajili yakufanya kazi pamoja kati ya Maendeleo Bank na Chama KAWASO

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages