A great place to access the latest news and information.

Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Saturday, September 28, 2019

WATEJA WA TIGO JIJINI MWANZA KUFIKIWA NA HUDUMA KWA URAHISI BAADA YA UFUNGUZI WA DUKA JIPYA LILILOPO KATIKA JENGO LA ROCK CITY MALL

Mkuu Wilaya ya Ilemela Dk Severine Lalika, akikata utepe kuzindua duka la Tigo kwenye jengo la Rock City jijini Mwanza, kushoto ni Meneja Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Uthmaan Madati wakishuhudia.

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Uthman Madati akitoa hotuba kwa wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa duka la Tigo kwenye jengo la Rock City jijini Mwanza.
Mkuu Wilaya ya Ilemela Dk Severine Lalika, akitoa hotuba wakati wa kuzindua duka la Tigo kwenye jengo la Rock City jijini Mwanza

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages